Weyani Tv
Weyani Tv
  • 1 767
  • 18 222 448

Відео

Serikali ya Dk. Mwinyi yafanya yale yale kwa Wapemba
Переглядів 12 тис.Місяць тому
Serikali ya Dk. Mwinyi yafanya yale yale kwa Wapemba
Jussa atuma salamu nzito kwa ZEC na Rais Mwinyi
Переглядів 10 тис.Місяць тому
Jussa atuma salamu nzito kwa ZEC na Rais Mwinyi
Vyovyote wanavyotaka wao, sisi tuko tayari, asema OMO
Переглядів 7 тис.Місяць тому
Vyovyote wanavyotaka wao, sisi tuko tayari, asema OMO
Jussa aweka mambo yote hadharani kwenye mahojiano haya
Переглядів 2 тис.2 місяці тому
Sauti ya Wazalendo na Ismail Jussa (SUBSCRIBE).mp4
OMO asema tatizo la Tanzania ni la kiuongozi
Переглядів 2,4 тис.2 місяці тому
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, amesisitiza mabadiliko ya mifumo ya kiuongozi ili kuleta maendeleo kwa Wananchi.
Makamu wa Rais wa Zanzibar akutana na uongozi wa Kanisa Katoliki Kigoma
Переглядів 2,8 тис.2 місяці тому
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, leo Mei 07, 2024 amekutana na kufanya Mazungumzo na Askofu wa Jimbo Katoliki Kigoma, Mchungaji Joseph Mlola. Mkutano huo uliobeba Dhamira ya Kujitambulisha na Kukuza Mahusiano Mema kati ya Pande Mbili hizo, ambao umejikita katika kubadilishana mawazo juu ya mambo mbali mbali ...
OMO mzima mzima kisiwani Pemba
Переглядів 1,5 тис.2 місяці тому
OMO mzima mzima kisiwani Pemba
OMO ndani ya Kigoma
Переглядів 2,3 тис.2 місяці тому
OMO ndani ya Kigoma
Mnyukano mkali juu ya Muungano, Jussa apambana na Nkuba kwenye redio ya Ujerumani
Переглядів 12 тис.2 місяці тому
Katika mnyukano huu mkali juu ya Muungano, Ismail Jussa anapambana na Sweetbert Nkuba kwenye kipindi cha Maoni Mbele ya Meza ya Duara cha Redio ya Ujerumani.
Matukio ya wiki ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Переглядів 1,7 тис.3 місяці тому
Matukio ya wiki ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Makamu wa Kwanza afanya ziara majumbani mwa wenye mahijati maalum Pemba
Переглядів 1,2 тис.4 місяці тому
Makamu wa Kwanza afanya ziara majumbani mwa wenye mahijati maalum Pemba
Huu Muungano una matatizo matupu asema OMO
Переглядів 3,9 тис.4 місяці тому
Huu Muungano una matatizo matupu asema OMO
OMO asema ACT itashika dola Zanzibar
Переглядів 2,5 тис.4 місяці тому
OMO asema ACT itashika dola Zanzibar
Pemba kumekucha, wakumbuka Maalim Seif, wasema hakuna kurudi nyuma
Переглядів 4,8 тис.4 місяці тому
Pemba kumekucha, wakumbuka Maalim Seif, wasema hakuna kurudi nyuma
OMO aanika mbivu mbichi Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar
Переглядів 3,2 тис.4 місяці тому
OMO aanika mbivu mbichi Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar
BABU DUNI ALIVYOMPOKEA KWA FURAHA MWENYEKITI MPYA WA ACT TAIFA OTHMAN MASOUD SIKU YA KWANZA KAZINI
Переглядів 1,4 тис.4 місяці тому
BABU DUNI ALIVYOMPOKEA KWA FURAHA MWENYEKITI MPYA WA ACT TAIFA OTHMAN MASOUD SIKU YA KWANZA KAZINI
Hotuba ya Othman Masoud kwa ACT mara baada ya kuanza kazi ya uwenyekiti
Переглядів 1,9 тис.4 місяці тому
Hotuba ya Othman Masoud kwa ACT mara baada ya kuanza kazi ya uwenyekiti
Ijue kwa undani familia ya na historia Mzee Mwinyi, wakeze, wanawe & jamii yake alikozaliwa Mkuranga
Переглядів 1 тис.4 місяці тому
Ijue kwa undani familia ya na historia Mzee Mwinyi, wakeze, wanawe & jamii yake alikozaliwa Mkuranga
Hivi ndivyo Juma Duni alivyomuachia kijiti Othman Masoud kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti mpya
Переглядів 7 тис.4 місяці тому
Hivi ndivyo Juma Duni alivyomuachia kijiti Othman Masoud kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti mpya
OMO: Tuna GNU Zanzibar lakini ipo tu, haifanyi yale yalokusidiwa
Переглядів 3,5 тис.4 місяці тому
OMO: Tuna GNU Zanzibar lakini ipo tu, haifanyi yale yalokusidiwa
Mwinyi afariki dunia, Rais Samia atoa maagizo haya
Переглядів 1514 місяці тому
Mwinyi afariki dunia, Rais Samia atoa maagizo haya
OTHMAN MASOUD LEO ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA NAFASI YA MWENYEKITI WA ACT TAIFA
Переглядів 9785 місяців тому
OTHMAN MASOUD LEO ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA NAFASI YA MWENYEKITI WA ACT TAIFA
Mwinyi afunguka, asema maslahi binafsi ya kibiashara ndo yalomtoa waziri wa utalii madarakani
Переглядів 8305 місяців тому
Mwinyi afunguka, asema maslahi binafsi ya kibiashara ndo yalomtoa waziri wa utalii madarakani
Baada ya Simai kujiuzulu uwaziri, Shamte atabiri mawaziri wengine kufuata
Переглядів 10 тис.6 місяців тому
Baada ya Simai kujiuzulu uwaziri, Shamte atabiri mawaziri wengine kufuata
Kuna nini? Simai Mpakabasi ajivuwa uwaziri wa utalii serikali ya Dk. Mwinyi
Переглядів 1,4 тис.6 місяців тому
Kuna nini? Simai Mpakabasi ajivuwa uwaziri wa utalii serikali ya Dk. Mwinyi
Baraka Shamte atapika tena, asema bora Wauw*e Zanzibar yote kuliko CCM kuachia madaraka 2025
Переглядів 15 тис.6 місяців тому
Baraka Shamte atapika tena, asema bora Wauw*e Zanzibar yote kuliko CCM kuachia madaraka 2025
Polisi acheni kumdhalilisha Pavu, fanyeni wajibu wenu wa kulinda uraia - ACT WAZALENDO
Переглядів 2,3 тис.6 місяців тому
Polisi acheni kumdhalilisha Pavu, fanyeni wajibu wenu wa kulinda uraia - ACT WAZALENDO
Watu wenye mapanga washambulia mtaa Zanzibar
Переглядів 4,1 тис.6 місяців тому
Watu wenye mapanga washambulia mtaa Zanzibar
Nondo za OMO, asema hakuna kurudi nyuma hadi Wazanzibari wawatoe madarakani wanaoitafuna nchi yao
Переглядів 9 тис.7 місяців тому
Nondo za OMO, asema hakuna kurudi nyuma hadi Wazanzibari wawatoe madarakani wanaoitafuna nchi yao

КОМЕНТАРІ

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 5 годин тому

    Shukraan saana ❤

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 11 годин тому

    Yan tuko mbal lkn tuko pamoja

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 11 годин тому

    Had raha

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 12 годин тому

    Honger 😂jusa

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 День тому

    Rajb acha upuuz huyo

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 День тому

    Allah awape nguvu zaid

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 День тому

    Nawapenda

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 День тому

    CCM hawatuweziii

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 День тому

    Mung tupenguv wajawak tushind

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k 3 дні тому

    Na nyie viongozi wetu hatutaki ahad zisizotekelezeka hatutaki ten hewala km marehemu maalim huruma hailei mwana tunatk vitendo sasa apa hachomoki mtu mara hii ata kuwa mtu kanaijenga Dunia mzima hii hamna kukaa ten ccm madarakani mwisho wao ni mara hii hao

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k 3 дні тому

    Ccm Hana njaa Wala Hana shida haya ni mwanachama Gani huyo wa ccm anaesaidiwa kwenye shida mtu pa kukaa Hana ama wew ni ccm hebu waangalien ccm Wana shida Wana njaa zindukeni nyie wenzetu tuungane tuwe kitu kimoja tupiganie haki kwanza tuishi vizur hatuna Raha maisha magumu mtu akiamka Cha kukila Hana ama wew unajiita ccm umjinga wew

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k 3 дні тому

    Ccm ni hao walio na madaraka sio nyie vikaragos mnaburuzwa tu tunakula njaa pamoja mbon haiwasaidii kitu hio ccm wameshasem Ina wenyew sio nyie ondoeni ujinga huo tetea haki Yako kwanza wajinga nyie huyo anaeipenda ccm amenufaika na nin awe na shida hapo haikusaidii Wala haikujui wanajuana wenyew tu hao sio nyie mnaopoga kelele ccm utakuwa wey

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k 3 дні тому

    Hao wanayoitetea ccm njaa km sie tu nyie

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 3 дні тому

    Naisubir iyo siku na mwaka ufike nione kwamacho siyo muwe na maneno mazur ila vitendo hakuna

  • @Is-hakaRuweikh-k9s
    @Is-hakaRuweikh-k9s 4 дні тому

    Inshaallah Mungu ataleta kher mwaka huu tumeshachoka kula muhogo mchungu bila ya ata dagaa!! Mungu yaa Raab liondoshe hili janga la ccm linatuongezea ucku wa giza TOTORO WAZANZIBAR ACLIMIA 85 Tumackini yaa Raab lione hili na MAOVU PIA YANACHANGIWA PIA NA unongozi wa chama cha mapinduzi WAZANZIBAR watuoi Wari wamekuwa wengi mahari hapana maisha magumu viongozi hawajashtuka maisha yanazidikuwa magumu😢😢😢 HASBIYALLAH WANEEMALWAKIYYL YAAB TUNAJUWA UNAYAJUA HAYA YOOTE NA UNAYAONA na wala hatukupaangii wew ni mjuzi wa wajuzi ila kwa udhalili wetu hatuna wa kumuomba isipokuwa wewe yaa ALLAH tunakuomba ufanye mageuzi mwaka huu inshaallah

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi 4 дні тому

    Marahii kazi ccm munayo kwa ACT

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 5 днів тому

    Naangalia hii baada ya miezi minane naona jinsi masoko yalivokamilika na kuvutia,namuangalia bimani kwa miwani ya chini

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 5 днів тому

    Watawala kazi yao kula tuu hawajali wananchi hata kidogo. Kusini watu wameamka sana washachoka kuhongwa pesa za sabuni

  • @salyali7807
    @salyali7807 6 днів тому

    ACT 🔥🔥🔥

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 6 днів тому

    DR MWINYI ANAIANGAMIZA ZANZIBAR NA WAZANZIBARI KWA UJUMLA👁️👁️

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor9733 6 днів тому

    Inshaallah kwa uwezo wa Allah atajaalia nchi yetu Zanzibar yetu itoke ktk muungano tumechoka kudhulumiwa

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 6 днів тому

    Kuteka watu wao

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 6 днів тому

    Wajinga hao ccm wanakudhalilisheni jamaazangu

  • @DaudsalumMohd-x1w
    @DaudsalumMohd-x1w 6 днів тому

    Asanteni viongozi

  • @GenttileZanzibar
    @GenttileZanzibar 7 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n 8 днів тому

    Sisi wazanzibari baba wetu wa taifa ni karume sio nyerere

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 8 днів тому

    Dufu linalia utam mno mm nimgonjwa wadufu jamani

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 8 днів тому

    Kulinoga wallah

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi 10 днів тому

    Bado hamuja sem CCM nyinyi maalim mulimuona mjinga et

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m 10 днів тому

    Watawal wa nch jmn yujuen Kun kufa man Kun wat wanakul pesa za wanach hil lioneln Kun kufa cjui twenda kutan vp na mola wetu ajae Kun kund la mafisad kuzulum mlione hil yangu viongoz walopit wpo hao had Leo

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 11 днів тому

    ua-cam.com/video/RQomA2ceX04/v-deo.htmlsi=C3iYZ2YTA2FAGEwl

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z 11 днів тому

    Kibele kunakuhusu

  • @ShamisYussuf
    @ShamisYussuf 12 днів тому

    Alla amsamehe makosa yake almarhuum OBAMA

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 13 днів тому

    Kifo cha maalem kimefichua wanafik

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 13 днів тому

    Ndio,shekh,

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 13 днів тому

    Ccm,hawanalolote,wanajidanganya,mbele,m,mungu,na,malaika,wake

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 13 днів тому

    Ulituulia chama chetu

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 13 днів тому

    Ulisababisha wewe Mbwa mkuu wee

  • @user-sh2os4yh5l
    @user-sh2os4yh5l 13 днів тому

    Dk Mwinyi silent killer

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 14 днів тому

    Wazanzibar sasa wamekua ni Sawa Sawa na Jela ya Watumwa wanaoteswa na Utawala wa CCM Looh😦🥺!!!

  • @haydarabdallah7914
    @haydarabdallah7914 14 днів тому

    💜💜💜💜

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z 14 днів тому

    Kumanina. acha. ujinfa. usiejielewa CCM. oyee😅. acha. izo😢

  • @yunuskhams7216
    @yunuskhams7216 14 днів тому

    Hii hakutia udhu si uzur kuisema maana huenda ikawa ni jambo la kimaumbile

  • @salyali7807
    @salyali7807 14 днів тому

    Mie ananishangaza Hussein Mwinyi.. Kua yote yanayotokea watu kuuliwa na kutayarisha vikosi kwake ni imani? Ama kweli mnafiq ni mtu hatari anasema anatabsam bado .. Hasbiyallah waneemal wakeel..

    • @BakaryOmally
      @BakaryOmally 13 днів тому

      @@salyali7807 tatizo la waoga siku zote imani zao kua wanapigwa tuu 25 bado aijafika mnachachawa yaani 25 ndo mwinyi haitaji ata kuzunguuka aliofanya yanaonekanwa nyinyi amna kitu mnachokiona kazi mkae majukwaani mutukane tu ndo mnayoiweza

    • @BakaryOmally
      @BakaryOmally 13 днів тому

      @@salyali7807 watu gani waliouliwa thibitisha shida yenu mnapenda kujihami na kulialia nyinyi zaidi mnachoweza kuwatusi watu majukaani hamna kitu mnalia na njaa fanyeni kazi

    • @Newchange25
      @Newchange25 13 днів тому

      ​@@BakaryOmallyyou know nothing you have to be quiet

    • @user-nk9wy8ve2v
      @user-nk9wy8ve2v 11 днів тому

      ​@@BakaryOmallyWewe kichogo deal na ya kwenu Bara Zanzibar haikuhusu Omali iyo vepe

  • @BakaryOmally
    @BakaryOmally 14 днів тому

    Akupeni kura naniii njaa fanya kazi

  • @BakaryOmally
    @BakaryOmally 14 днів тому

    Hamna lolote nyie hamna

    • @ahmadSeif860
      @ahmadSeif860 14 днів тому

      Ww bakar c umfate mwenzako mauzinde

    • @user-hx8gn5yx8c
      @user-hx8gn5yx8c 14 днів тому

      Wewe kunguni hasa sio chawa vijicho vidogo kwa ubaya

    • @BakaryOmally
      @BakaryOmally 13 днів тому

      @@ahmadSeif860 wewe si ndo anaekundua umemjuaje km nawewe sio hanisi

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu 6 днів тому

      Ww unalo ndio maana umevaa nguo

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 15 днів тому

    Duh kiukwel shd bora tufe sote ili CCM tuu ikae madarakani, hatar haya mzee endelea kusema zaidi Ila juwa wakati firauni kafikia mwisho ma Hakuna nitakacho kaa daima

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 17 днів тому

    askar si kazi za uungwana

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi 18 днів тому

    Mm hata ccm ifanye nn sita vaaa hata tisheti yake mm sivai

  • @SudiKhamisi
    @SudiKhamisi 18 днів тому

    Ukumbuke utakufa na CCM itakufa kafa mtum je CCM Lana tu uwah ww mwenye kujielewa kam atalipwa na mola wake haongozi nchi kwa zula et fanya haki Kama kweli nynyi niwadilifu cheka duniani ukalie kaburin